2 yrs - Dar es Salaam, Tanzania.

Je unahitaji kumjuza mpenzi wako kwamba
Ndio, kama umepima nakukutwa unaugoniwa wa zinaa iwe ni
UTI, gono au kaswende inakulazimu kuwapa taarifa ya majibu
yako mpenzi wako wa sasa au wazamani waam ie kwamba
wanaweza kuwa umewaambukiza pia.
kama unaplan kufanya mapenzi na mtu yoyote inakubidi
kumwambia pia juu ya majibu yako.
KUMBUKA HAYA MAZUNGUMZO SIO UCHESHI AU
KUJICHORESHA, husaidia kupunguza maambukizi a kukata
mzizi
Maongezi juu ya kupima na majibu ya husaidia kuzuia usambaaji
wa magoniwa ya zinaa hurahisisha kungulika mapema na kupata
matibabu haraka ambayo husaidi kupunguza madhara yake
Hi ni nzuri kwa mgonjwa ya zinaa sababu mengi hayaoneshi dalili
mpaka madhara yake yaonekane, kama utasa na na baadhi ya
saratani .mpenzi wako inampaswa kujua ili aamue kama
ataendelea nawe pia inakudi kufahamu juu ya historia yao ya
maambukizi va zinaa. #palscity

image

Install Palscity app