❣️
""HUU NDIO UPENDO WANGU KWAKO "KWA SIKU YA LEO"
Nakuombea UBARIKIWE kama YAKOBO
Utembee na MUNGU kama HENOKI,
Uyashinde MAJARIBU kama AYUBU,
Uwe MWAMINIFU kama YUSUFU,
Upendwe Na Mungu kama IBRAHIM,
Usiwe Na Wivu Kama KAINI
Ufanikiwe katika yote kama SULEMAN,
Usiwe Na Moyo Mgumu Kama FARAO
Wanaoshindana nawe Washindwe kama GOLIATI
Wanaotaka kukuangamiza Waangamie kama JESHI LA FARAO,
MWISHO Tengeneza Ushuhuda "MWEMA"Mbele Za Mungu Kama HEZEKIA
Ubarikiwe kwa kila jambo utakalo lifanya hapa duniani, kama kweli wewe ni Mtu wa mungu naomba utume ujumbe huu kwa watu uwapendao zaidi ya 20
Nshimirimana Willy
Delete Comment
Are you sure that you want to delete this comment ?