@Gapesa
Star Wa Muziki 🌏 SIMBA 🦁 #DiamondPlatnumz Anasema Kwamba Jana Usiku Watoto Wao "Tiffah & Nillan" Waliwaita Yeye Na #Zari Huku Mada Ikiwa Ni "Sababu Gani Iliyopelekea Mahusiano Yao Kuvunjika?"
Tiffah: Mama Jana Katuambia Kwamba Wewe (Diamond) Upo Kwenye Mahusiano Mengine Na Una watoto wengine Nje (Tahiya & Taraj) Na Ndiyo Umesababisha Mahusiano Kuvunjika
Zari: Hapana (Taraji & Tahiya) Hao Ni Binamu Zenu Na Sio Watoto Wa Baba Yenu Ila Alikuwa Na Mtoto Mwingine Alizaa Na Mwanamke Mwingine (Mobeto - Daylan)
Diamond: Ni Kweli Mama Yenu Amewaambia Hivo ? Mimi Mbona Sina Mwanamke Mwingine Nje !! Nina Mtu Mmoja Tu Ninayempenda Ambaye Ni Mama Yenu 😀
Tiffah & Nillan: Lakini Mama Nae Ana Mwanaume Na Muda Mwingi Huwa Tunamuona Kabisa, Mama Ndio Sababu Ya Nyie Kuachana
Zari: Aah !! Kwahiyo Mmenigeuka Na Kunishambulia !! 😀😀 ( Zari Akanyanyuka Na Kuondoka)
Tiffah & Nillan: Nenda Huko Bwana !! Wewe Ndio Sababu Ya Familia Kuvunjika 😀🙌
Diamond: Ila Msijali Wanangu Mimi Na Mama Yenu Bado Tupo Pamoja Wala Hatuajaachana Sawa Eeh
Tiffah: Aah Baba Yule Mama Ndio Kavunja Mahusiano
Swipe left ⬅️⬅️⬅️
Cc.✍:@officialtriggah
#AfricaIsWatching #WasafiDigital
Gapesa blogueur personnel
Install Palscity app
Charles Titus
تبصرہ حذف کریں۔
کیا آپ واقعی اس تبصرہ کو حذف کرنا چاہتے ہیں؟
UKURIKIYEYEZU Clément
تبصرہ حذف کریں۔
کیا آپ واقعی اس تبصرہ کو حذف کرنا چاہتے ہیں؟