 
					 
						 
                                    @Handboytz
    	
 1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote. 
 
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa. 
 
3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 
 
4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote. 
 
5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 
 
6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi. 
 
7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa: 
(a) Walevi 
(b) Wazinzi 
(c) Wagomvi. 
 
Aina tano za wanawake wa kuepukwa; 
   (a) Walevi 
   (b) Wazinzi 
   (c) Wachawi 
   (d) Wagomvi 
   (e) wasio tii 
 
8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha. 
 
9. Maneno matatu yanayojenga amani katika Ndoa: 
 (a) Nakupenda. 
 (b) Samahani. 
 (c) Asante. 
 
10. Kupiga punyeto kwa mwanaume na kujichua kwa mwanamke ni kuharibu mwili wako mwenyewe. 
 
11. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta. Hamuwezi kufika popote. 
 
12. Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembetatu: 
>Mungu mmoja 
> Mume mmoja 
> Mke mmoja. 
 
13. Furaha ya kudumu maishani hutegemea na chaguo lako la mwenzi ktk Ndoa. 
 
14. Usioe/kuolewa na pesa au mali. Oa/Olewa na mtu. Pesa/Mali hufilisika lakini utu hudumu milele. 
 
15. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa isiyo na amani wala furaha. 
 
16. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa. 
 
17. Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa sababu tu anakidhi haja zako kingono. 
 
18. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki wema. Vivyo hivyo kwa marafiki wabaya (Bad company corrupt good character) 
 
19. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali. 
 
20. Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza...
 
         
				    				 
				    				 
				    				 
				    				 
				    				 
				    				
    	
 MAMBO MUHIMU 20 YA KUZINGATIA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA 
Yajue na kuwa makini na mambo haya kabla ya kuingia kwenye ndoa. 
 
1.Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa 
ni ya maisha yote. 
 
  
 
2.Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka 
kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada 
ya Ndoa. 
 
3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 
 
  
 
4.Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu 
yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi 
fanywa na mtu yeyote 
 
5.Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na 
Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 
 
  
 
6.Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama 
kuolewa na mtu hasiye sahihi. 
 
  
 
7.Aina tatu za wanaume wakuepukwa: 
a) Walevi. b) Malaya. c)Wagomvi. 
 
8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe 
na Ndoa yenye furaha 
 
  
 
9.Maneno matatu yanayojenga amani katika 
Ndoa: 
a) Nakupenda. b) Samahani. c) Asante. 
 
  
 
10.Kupiga punyeto ni kujiharibu. 
 
  
 
11.Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama anga 
bila jua. 
 
  
 
12.Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembetatu: 
Mungu mmoja – Mume mmoja – Mke mmoja. 
 
  
 
13.Furaha ya kudumu maisha hutegemea na 
chaguo lako la Ndoa. 
 
  
 
14.Usioe pesa au mali – muoe mtu. 
 
  
 
15.Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa 
isiyo na amani na furaha. 
 
  
 
16.Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano 
mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke 
mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa. 
 
  
 
17.Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama 
kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa kigezo 
tu anakidhi haja zako kingono. 
 
  
 
18.Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki 
wema. 
 
  
 
19.Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali. 
 
  
 
20.Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza…
 
				    				 
				    				 
				    				 
				    				 
				    				 
				    				
JECTONE OKOTH
Verwijder reactie
Weet je zeker dat je deze reactie wil verwijderen?
Nayab Sahar
Verwijder reactie
Weet je zeker dat je deze reactie wil verwijderen?
Nayab Sahar
Verwijder reactie
Weet je zeker dat je deze reactie wil verwijderen?