Prof Kabudi: Nyerere ilikuwa azaliwe Kenya
				Mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa azaliwe Kenya, lakini mapatano ya mipaka kati ya Uingereza na Ujerumani waliokuwa wakoloni wa eneo hili yalifanya azaliwe Tanganyika.
			 
			
Hamdan Mwinyi
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?