Знакомьтесь сообщенийИзучите увлекательный контент и разнообразные точки зрения на нашей странице «Обнаружение». Находите свежие идеи и участвуйте в содержательных беседах
Auntie wa Duka ? ?
Season 2
Episode 1
“Kijana ya Joan nani alikuroga kabisa?" Claire alinianza na makasiriko nilipotokelezea kwa bedroom ya Jossy nikiwa na kamulila pekee. Enyewe hata ungekuwa wewe ungejitetea aje??? Uzuri hawezi nipiga, so atanitusi tu na yaishe. “Fastovol, iriss not warr you think iriss. Hakuna kitu tumefanya na Katchumbarri??. So Claire usilete makasiriko tafadhali." Jossy alianza kunitetea ama sijui alikuwa anajitetea.? “So nani amekuuliza kama mmenyanduana?"? Claire alimnyamazisha Jossy. “It's bad manners kukula nikiongea."? Claire aliendelea kujibonda. “Katchu si uite huyo bibi yako mdogo pia akuje akule, ama unataka akufe njaa?" Jossy was referring to Irene. “Wacha niende nimuite basi." Nilikuwa nishavaa nguo zote. “Haina haja, mpigie tu simu akuje." Claire alinikataza kutoka ju alijua tu nikienda sitarudi. Anyway, nilimkol Irene akakuja kwa Jossy. “Yaani mko tu huku mnajibonda na mimi mmeniacha na njaa? Manze hamnifurahishi walahi!" Irene alileta makasiriko pia. “Kaa chini mimi kama First Lady nikulishe upate nguvu." Jossy alisema hivi huku akimserve Irene chai. “Sikumbuki tukipiga kura ukapita ukawa First Lady..." Claire naye alikuja juu tena. “Haina haja ya kuletana juu, kama Jossy ni First Lady basi mimi ndiye Main Chic." Irene alijipea title yake. “Na Claire wewe ni nani?"? Nilimwuliza Claire ili pia atangaze msimamo wake. “Kama Jossy ni First Lady, Irene ni Main Chic basi na mimi Claire ni Bibi wa Kwanza. Nani ana swali?"? Claire naye hakuachwa nyuma.???✌
️
Kama mzee wa nyumba, ilibidi nilete law and order huku. ?“Haina haja mpigane ju ya hii kitu na msichana nitaoa bado ako Grade Six anasoma parts of the male flower. ???Kuwa tu wapole. Hii Kenya haihitaji haraka."? I wished I could have tamed my mouth coz the insults I received thereafter silenced me. Irene alinimwagia chai moto kwa uso. Jossy naye akanimwagia mkebe full wa sukari kwa kichwa. Claire alinirushia kikombe nikainama akamiss. “Kama mnataka kuniua sema tu, mniue mnipike mnikule. You ungrateful daughters of Jezebel!?☹" Nilisema huku nikilia. “Wewe Katchumbarri ulifanya niachwe halafu unaniambia hutanioa? Huo ni upuzi gani?"? Jossy alikuwa amenikasirikia yake yote. “Hatuwezi date miaka sita halafu ukuje uoe mwanamke mwengine, nefaa!"? Huyu ni Claire. “Mimi tumepatana juzi lakini mimi na wewe till death do us part!"✌️Irene naye hata hana aibu walahi.?? “Okay, fikiria sana venye mtakuwa mabibi zangu nyinyi wote watatu. Mwenye hataki hivo aseme mapema ajitoe." Kama Chairman wa huo mkutano nilileta AOB. Hakuna mwenye alikubali kujitoa. Nilijua tu nimebakisha tu kuoa mabibi wengine wanne halafu nivunje record ya babu yangu ya kuoa mabibi saba.?
Irene na Claire waliendelea kunywa chai huku mimi na Jossy tukiwaangalia tu. Niliwaangalia hawa wasichana watatu nikijua tu siku moja wataungana mkono waniumize ama hata wanimanyurie uhai. Itabidi tu nimecheza safe. Nitaulizia advice kwa Kangaroo venye inafaa niwatoke hawa kike Kipetero Kiyesu. However, nilijinyamazia tu. Simu yangu iko tu hapo kwa meza hata sijajisumbua kuiangalia. Mtu mwenye anaweza call sai alete shida ni baby mama pekee. But si rahisi anikol, I consoled myself. I am safe. Nikifikiria kuwa hakuna mwenye anaweza kol, kumbe I was wrong. Simu ilianza kuitana. Kila mtu aliiangalia. Ni Bibi ya Landlord. “Beb si uchukuwe simu!" “Na uiweke loudspeaker..." Claire aliadd. “Hello!" “Haina haja ya salamu, wewe kijana ulinivunjia ndoa yangu. Sai naenda kwetu, nikirudi utanioa! Utajua Mkamba ni kusema kitu gani...." Bibi ya Landlord alianza vitisho.
Wait for the next episode?