1 y - Translate

UKARIMU NA UPOLE NDANI YA RAMADHANI:

عن عبدالله بن عباس رضي الله عنهما
( كَانَ رَسُولُ اللَّهِ أَجْوَدَ النَّاسِ وَكَانَ أَجْوَدُ مَا يَكُونُ فِي رَمَضَانَ حِينَ يَلْقَاهُ جِبْرِيلُ وَكَانَ يَلْقَاهُ فِي كُلِّ لَيْلَةٍ مِنْ رَمَضَانَ فَيُدَارِسُهُ الْقُرْآنَ فَلَرَسُولُ اللَّهِ ع أَجْوَدُ بِالْخَيْرِ مِنْ الرِّيحِ الْمُرْسَلَةِ)

MAANA YAKE
Kutoka kwa Abdilaah bin Abaas R.a..

Alikuwa Mtume saw ni mzuri ktk watu, na vizuri zaidi alipokuwa ktk mwezi wa Ramadhani pindi alipokuwa akiijiwa na Jibril kila usiku wa Ramadhani na kufundishwa Qur'an, na alikuwa ni mwepesi wa kufanya mambo ya kheri kuliko upepo

MAFUNZO YAKE
Ukarimu unahitajika kila wakati na Hassa mwezi wa Ramadhani kusaidiyana na kutatuliyana Shida zetu.!!

Ni kipindi kitukufu cha Kudarisi na Kujifunza zaidi Kitabu cha Allah na hata kuwafunza wenzako.!!

Update Your Browser | Facebook

Install Palscity app