2 Ă„r - ÖversĂ€tt

BAADHI YA MISTARI INAYOPINGANA KATIKA BIBLIA
👉Mathayo 08:28👈 , *naye alipofika ng'ambo katika nnchi ya wagerasi watu wawili wenye pepo walikutana naye wanatoka makaburini wakali mno hata mtu asiweze kuipita njia ile njia*

👉Marko 5:1-2👈 *wakafika ngambo ya bahari mpaka nnchi ya wagerasi na alipokwisha shuka chomboni mara akakutana na mtu ambaye ametoka makaburini mwenye pepo mchafu*

Swali je 👉Yesu alikutana na watu wawili wenye pepo kama ilivyoandikwa *Mathayo 08:28* au alikutana na mtu mmoja mwenye pepo kama ilivyoandikwa katika kitabu cha *Marko 5:1-2*đŸ‘ˆđŸ€”đŸ€”đŸ€”, utajua hujui

*Its moment of truth*#bushmoney

Install Palscity app

Android IOS