PART 2; ๐ท MY DIA WANDIA ๐ท
Kufika home kufungua bible nikapata number yake ya simu na note
inasema , ''hey handsome๐, u are such a wonderful guy & i like you... Continue reading the word of God . Nice time, yours WANDIA๐ ." Waaah....WANDIA๐ฏ๐ฏ๐ฏ๐ฏ!!!!!
Sasa hapo nyumbani kulikuw na balaa? Yani Naishi na bro yangu mdogo as in ni mimi nimehost yeye kwangu๐. The only thing he owns kwa hiyo nyumba ya single room ni home theatre system. This bro of mine yuko na mwili kubwa so many people believe that am smaller than him, so that house in general belongs to him ๐ฏ!
He came with his beautiful girl 2 months ago na demu akakwama Kwa keja๐ช , mimi being the good guy niliwaachia bed nadoz Kwa grao.
This lady believes hiyo nyumba ni ya chali yake. But me as gentle man nmecool tu nkt ๐ซ. But for now ile madharau naonyeshwa na huyo mwanamke she taught everything ni beb wake na nimecool ๐ด๐ด .
I'm not even talking to my bro about that issue cz kila time wako pamoja, apo ni kwangu na ata nkitaka nirudi saa saba ya usiku nitarudi cz hio hao n mm ndio nalipa๐ฃ. Kuna day nimerudi usiku nkiwa maji juu ya stress zngu, kibibi kinanigombanisha eti kwa nin nimerudi sai usiku hii, ati alfu eti niwache hio ujinga ya kuamsha watu kama wamelala๐ฅ๐ฅ.
Kwanza kama kuna kitu umeniboo ni kunipimia chakula๐, wakati mwingine wanakula vizuri halfu nikiongoja kuserviwa chakula, boom! Ananiambia nilambe sahani ynye yeye amekulia chakula ๐ฅ๐ฅ.
Halfu bro wangu anajaziwa manyama๐ญ, na gasiaaa ya mwanamke hajuangi Kama n mm ndio nanunuaga izo vitu zote. Mm nkifanya shopping naita bro anakuja kubeba lkn sasa kimwanamke kinakalishaga tu haga apo kikifikiria hio shuguli n ya bro๐ค!! Bro pia alimdanganya dem wake eti maparo ndio wanamtumiaga pesa ya kila kitu ๐ญ. One day, nikaona gaidi ako like 6 weeks pregnant, nikajua hta wao wamekuja sana, nikaanza kuwaonea 18, nikaamua kuchora plan .......
PART 3 LOAding