3 ืฉื ื™ื - ืชืจื’ื

P.A.R.T 1; ๐ŸŒท MY DIA WANDIA ๐ŸŒท

Last sunday nilikua naenda kutembelea beshte yangu๐Ÿ˜ฏ ,then mat nilikua nimepanda nikaona msupa mrembo mwenye ameumbika akafika nikaona nikae naye juu uwezi know miracle za mungu vile zinafanyika ๐Ÿ™‚.Sema dem brown skin alafu tulips twingine tusupuu kuruka waaah..ikabidi nijiambie kimoyomoyo๐Ÿ˜‹ .....Take it Slow ya Willy Paul ft Sautisol .

Dem aliposema "hi" Waaah Kushtuka!!! Nikajibu "hi too" Hapo niligain Confidence, nikakumbuka ile Mistari yangu nilikatia nayo kina nani, na nani. Nikajiambia baaas๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏ.
Hapo tukajuana akaniuliza naenda wap, nikamshow naenda kutembelea beshte yangu๐Ÿ˜Š, Na yeye akanishow anaenda Church NPC Valley Road na akanishow niandamane naye leo ni siku ya kuabudu๐Ÿ˜Ž.
Nikakumbuka msemo usemao it's only a fool who doesn't change his mind, nikaamua kwenda church na huyo dem then akanishow atanilipia fare so nisijali๐Ÿ˜‰ ....Tukafika church tukaabudu poa๐Ÿ™.

Imagin kitu funny huyu dem alinipea Sadaka ya 200 nilipe. Nikajiuliuliza kwani nalipia church rent๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ!!!! Sasa pastor akauliza kama kuna mgeni, yule dem akaniangalia nikajua Wah!!!...Mmmmmmh..Dem alinishika mkono yangu akainua juu๐Ÿ˜ฏ!!

Sema kutetemeka Walai but juu mwanaume ni kujijaz ikabidi nisimame nijitambulishe ๐Ÿ™„ . Sema kuitwa mbele ya church, chenye kilifanyika next mungu ndo anajua ..Church ikaisha tukaenda tao.
Dem akanipeleka THE RICHLAND hotel๐Ÿค“...Sema kuletewa food ingine hata sijui venye inaitwa๐Ÿ™„. Tulikula tukamaliza dem akaanza kunisomea bible sasa. Hapo sisi hao tukapanda gari kufika town akanipatia Bible yake akanihug then akanipea 500, eti nitumie kama transport kwenda kejani ๐Ÿ˜.

Kufika home kufungua bible nikapata number yake ya simu na note
inasema , ''hey handsome๐Ÿ˜, u are such a wonderful guy & i like you... Continue reading the word of God . Nice time, yours WANDIA๐Ÿ˜˜ ." Waaah....WANDIA๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏ!!!!!

Install Palscity app

Android IOS