Sisi wana dunia tukumbuke maneno aliyosema Bikira Maria , alopowatokea watoto wa fatima Lucia ,. Fransisca na Jacinta .Alisema tusali , tusali rozari tupate amani . Na tuwaombee wale wakosefu wasio na mwombezi na wasiomwamini Yesu Mwokozi wamuamini ili waokoke
Ayesha5476
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?