3 ๋…„ - ๋ฒˆ์—ญํ•˜๋‹ค

LOVE GAMES๐Ÿ’–
Part 1

Monday morning, kwa saa yangu ya mkono inaniambia ni saa mbili asubuhi, nimesimama kwenye gate ya shule kumgoja mama ambaye nilikuwa nmemwacha nyuma kidogo๐Ÿ™, macho yangu hayaachi kutazama picha nzuri nzuri na zenye mvuto wa aina yake, zipo kwenye ukuta wa gateโฃ๏ธ. Moyoni mwangu nimeanza kuhisi nikama ndoto yangu ya kusomea kwenye shule ya majuu imeanza kutimia๐Ÿ’œ. Mbele yangu amesimama bawabu mlinda lango, mwenye macho mekundu kama damu, sura yake ilieleza mengi, haonekani mzee mwenye mzaha๐Ÿ˜.

"Kijana samahani, weye ni msomi wa hapa?" Aliniuliza kwa sauti nzito ambayo ilinifanya nishikwe na wasiwasi ๐Ÿ™.
"La hasha mzee, nmekuja kuomba nafasi tu" nilijikakamua.
"Ahaa, karibu kwenye shule yenye masomo ya hali ya juu, hapa ndipo, umefika mwanangu, ila nilikuwa nishajuwa wewe si wa humu, maana hapa wanafunzi wana heshima," ๐Ÿค”

๐Ÿค” mmh heshima?, Ina maana mm sionekani mwenye heshima๐Ÿค”. Nilijiuliza kimoyomoyo. "Samahani mzee, una maana gani??".
Kwa kicheko cha kulazimisha, "ndio, wanafunzi wa hapa kamwe hawawezi simama karibu na mtu aliyewazidi kwa umri na wakose kumrushia salamu, hilo tu ndo lilikuwa dhibitisho tosha ๐Ÿ™".

"Ahaa naomba radhi jamani, shikamoo mzee wangu?" Nilisema kwa aibu, nisijue pa kuficha sura yangu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ.

"Marahaba kijana, unaonekana chiriku mwenye hana maneno mengi๐Ÿค”, mie naitwa mzee Kwatu, mm ndimi principal wa hapa๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ˜ฒ naomba kukufamahisha kwamba umeshapita mtihani wa kwanza, una heshima nimeona".

Mwili wote ukaanza kunitetema, "Principal??" Niliuliza kwa mshangao๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

"Ndio, mimi ndimi, kwa sasa naomba unifwate๐Ÿ™". Tulifululiza hadi ofisini, kumbe mama yuashafika, inaoenekana ilikuwa plan yao kunijaribu.

Hata hivyo, nilifanikiwa kupewa nafasi kwa hiyo shule maridadi๐Ÿ’—.

Wiki la kwanza kwa shule mpya halikuwa rahisi. Haya yote yanatokea baada ya kutolewa kwa shule niliyojiunga nayo mwanzo kwenye kidato cha kwanza. Nilipofika kw cha pili,, kukatokea mkasa wa moto na hivyo kila kitu kilichokuweko bwenini hakikusaswa na moto๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Shule ilipofungwa basi mamangu akaamua kunileta kwa hii shule niliyomo kwa sasa๐Ÿ™๐Ÿ™.

Siki yangu ya kwanza darasani๐Ÿ™ˆ. Kila niliyemwangalia alikuwa ameniangalia,, si wa kusmile si wa kunicheka kwa aibu yangu, si wa kunifinyia jicho. Lakn kuna mmoja wao ambaye hata hakuniongelesha, kuniangalia wala kunipa smile๐Ÿค”๐Ÿค”. Amerembeka ajabu, big and sexy eyes, akiamka nitawaambia body shape, lkn kwa sura lazma niseme, she has a baby face ๐Ÿ˜.

Nilikuwa na haja sana ya kujuwa kwann anakaa tofauti na wengne๐Ÿค”๐Ÿค”.

Kama si lazma basi ni kawaida, huwa mgeni akija darasani, kila mtu hutaka kujuwa huyu mtu ni wa aina gani๐Ÿค”.

My curiosity didn't allowed me to remain seated, though nilikuwa bado mgeni,, sikujuwa ni nani wa kumchukuwa kama rafiki na ni nani wa kumbeba kama adui,, lakn possibility of me being her enemy was over a hundred percent ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Kabla niamke ili nmsongee nikijifanya naomba notes. Kuna mmoja wao alikuja nilipokuwa nmekaa, sema wengne kumwangalia, mind ikanishow huenda amenipenda na ameshawaambia wengne kuhusu hilo, niliapa kutojiangusha.๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.

"Hi, sorry for interrupting your studies, am Hellen lakn wenzangu huniita Cute๐Ÿ™๐Ÿ™." She explained.
"Ohh nice to talk to you Cute. Am Trevor, (nikapelela mkono kumsalimia lakn daro yote ikaangua vicheko๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ nikarudisha mkono wangu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ).

Cute: Sorry Trevor,, huku we don't shake hands, Corona manenos. Yan kwenu haikuwa imefika ama??

Nilijiona fala for first time,, hata maneno niliyokuwa nmepanga kumrushia yote yanihama๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ. "Ooh it's okay, I now know ๐Ÿ™".

Hellen: So mm ndo class piri๐Ÿ˜ฒ. Ningependa kujuwa majina yako yote tafadhali๐Ÿค”. Trevor nani??

Bado nilishangazwa na behaviors za huyo huyo mrembo mwengne๐Ÿค”. Hata watu walipocheka yeye hakushughulika kuniangalia๐Ÿค”. Am I ugly??

"Hey Trevor, nimetaka kujuwa majina yako kamili๐Ÿ™,"
After kumwambia alinirushia kakaratasi kwa locker yangu๐Ÿ˜ฒ. Sikumind kukasoma hiyo tym, I knew that she was already in love with meโฃ๏ธ. Nilifeel ni kama nmeanza kuwakunywa mapema mapema๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช. Boy child๐Ÿ˜‚.

After tea break, niliamua nooh, lazma nijue kwa nini huyu dem hana shughuli mingi kama wenzake๐Ÿ™๐Ÿ™. Nilisanya ujasiri hadi ukafika kilo moja na nusu then nikasema baasi๐Ÿ˜‚. Liwalo na liwe.

Kwa hii life kila msee ana crush ama amewahi kuwa naye. As for me, my heart had already falling for someone, none other than the different prettiest girl in class ,mwenye hakuwa na shughuli na mm๐Ÿค”.

Nilipoamka kumwendea kila mtu alinigeuka kwa mshangao ๐Ÿ˜ฒ,, Cute kwanza ndo hakuamin๐Ÿ™†, alijaribu kunifinyia jicho lakn nikaona ni wivu yake tu,,

"Hey, am Trevor,".
"Am Stacy," she said with lots of smiles on her face.
"WOW, beautiful name, just as your face."
"OMG please stop it, (blushing) am not that beautiful Trevor, I mean stop exaggerating ๐Ÿงก๐Ÿงก".

Hapo nikajuwa kitu imeanza kujipa๐Ÿ˜.

"Amn't exaggerating Stacy, so am not supposed to praise your beauty โฃ๏ธ?"

"Who said that Trevor,, (still blushing) okay thanks basi,, now go๐Ÿ™ˆ. You are making me uncomfortable ๐Ÿ™ˆ". She said with an angelic voice... For sure kama mm ningekuwa nyoka basi sijui pangoni ningekuwa nafanya nini๐Ÿ˜ ningekuwa nishatoka kitaambo๐Ÿ˜.

"Please, can I have your number Stacy, here is mine," I gave her mah number and guess what ๐Ÿ’–๐Ÿ’–. She took it ๐Ÿ˜.

"Yangu ndakukol uipate sawa" she said in a low voice.
"Promise you will call me today Stacy ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹".

Her: Today?? Trevor this is a boarding school, kwan una simu huku shuleni wewe?

Me: Chill manze, usichome. But iko kwa Dom kwa bag ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹.

Her: It's okay then I'll try.

Me: Nita apriciate sana๐Ÿ˜. Si tutabonga lunch time ๐Ÿ˜๐Ÿ˜.
Her: okay.

The whole class ilikuwa kimia hakuna anyeamini nilichokifanya๐Ÿ˜. Kwanza Cute, waah ak si watu wana wivu๐Ÿค”๐Ÿค”. Alikuwa hamalizi kuniangalia, usoni alikuwa mwenye mshangao ajabu๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

Nilitembea kiboss, ili kuwaonesha maboys wenzangu jinsi ya kucheza na maneno๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช. I know Stacy alikuwa amewatisha ju ya upole wake na sura yake ya kazi๐Ÿ’ช๐Ÿ’œ. Kwanza nikapita kwa boy fulani hapo pia alionekana mfunny sana kulingana na watu๐Ÿ’ช. "Oyah bro umechachi..... Akanyamaza ghafla kuangalia nyumba kumbe alikuwa amemwogopa Stacy ๐Ÿ–ค๐Ÿ’š.

Sema kuenda kukaa chini ndo nisome kale kibarua nilirushiwa na Hellen ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kwanza karibu nifaint venye nilisoma tu sentence ya kwanza๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

"Please bro,, usifanye kitu mbaya, huyo unaona amekaa hapo mbele ni madam wetu wa chem, ametumwa ajifanye mwanafunzi ndo aone tabia zako koz umetoka kwa shule yenye ilichomwa na wanafunzi so bado wanakushuku ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ,, nmeamua kuandika ndo nikusave manze, she's our deputy principal. Bye bye"

Whaaaat๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Mara hiyo Stacy akaamka na kuenda staff room ๐Ÿ˜ญ. 2mins later akarudi๐Ÿ˜ฒ

ngร i ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Her: Trevor. Follow me to staff room ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Just introducing the new story guys.. if you are interested in following it. Please weka like yako ya kwanza manze๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Part two loading....

Install Palscity app

Android IOS