Hellow wapendwa mimi niko na kipaji cha kuzaliwa mimi ni fundi wa simu, radio,tv na vitu zingine za electronic but sijapata mutu wakunipa suport, so naomba kama kuna mutu anauwezo basi ajitokeze kunipeleka couse ili niongezee idea nitashukuru sana na mwenyezi mungu atamubariki.
Evans Atambo
حذف التعليق
هل أنت متاكد من حذف هذا التعليق ؟