Prof Kabudi: Nyerere ilikuwa azaliwe Kenya
Mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa azaliwe Kenya, lakini mapatano ya mipaka kati ya Uingereza na Ujerumani waliokuwa wakoloni wa eneo hili yalifanya azaliwe Tanganyika.
Hamdan Mwinyi
删除评论
您确定要删除此评论吗?