Prof Kabudi: Nyerere ilikuwa azaliwe Kenya
Mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa azaliwe Kenya, lakini mapatano ya mipaka kati ya Uingereza na Ujerumani waliokuwa wakoloni wa eneo hili yalifanya azaliwe Tanganyika.
Hamdan Mwinyi
Tanggalin ang Komento
Sigurado ka bang gusto mong tanggalin ang komentong ito?