KUMEKUCHA : Chanjo ya Corona Yamponza Gwajima Apingwa Kila Kona
ShangaziJul 26, 2021
Ikiwa imepita siku moja baada ya mbunge wa jimbo la kawe Askofu Josephat Gwajima kudai kuwa walioeta chanjo ya virusi vya corona wamelipwa na watu wa nje kuwaangamiza watanzania amepata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi nchini
Mbunge wa Bumbuli kupitia chama cha mapinduzi (CCM) amesema kuwa kitendo cha mbunge mwezake kupotosha umma juu ya serikali iliyoleta chanjo hiyo kuwa na lengo la kuwadhuru wananchi wake sio sahihi
“Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali kuleta chanjo nchini haikubaliki. Ni hatari kupotosha watu wanaotuamini kuhusu mambo ambayo hatuna utaalam nayo. Mjadala kuhusu usalama wa chanjo ni sahihi lakini kiapo kwamba Serikali imeileta kuwadhuru watu si sahihi” amesema Makamba.
Kwa upande mwingine Mwenyekiti Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dkt.Fredrick Shoo amewaonya viongozi wa dini wanaopinga chanjo ya corona na kuacha kuhusisha chanjo hiyo na mpango wa shetani na kudai huko ni kumjaribu Mungu.
Naye aliyekuwa Waziri wa maliasili na utalii Hamis Kingwangala ambaye tayari ameshapata chanjp hiyo amesema.
“Askofu Gwajima afanye uungwana azitafute makala za kisayansi asome kwa kina juu ya chanjo; na kama ana mashaka na sayansi yake atafute wataalamu wampe shule ya chanjo. Hata mimi Mbunge mwenzake nimesoma soma kidogo, niko tayari kumfafanulia maeneo kadhaa na kumuondoa shaka” amesema Kingwangalla
Aidha umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) umelaami kitendo cha mbunge huyo kupinga na kuhamasisha watu kukataa chanjo hiyo.
Director Dofu

Samuel Kariuki
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Maxswel Okus
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Emily Michira
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Selma Asraka
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
John Ngigi
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Kassim Ayomide
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
SALUM KONDO
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Hassan Mungathia
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Ndubuaku Chinecherem
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Erick wabwile
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
JOHN JAMES
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Gracious Jerry
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Ednah Kasabei
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Hasingizwimana Jean d Amour
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Yvonne Shiqo
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Samuel mwangi
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Samuel NYANDWI
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?
Erick wabwile
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?