KUMEKUCHA : Chanjo ya Corona Yamponza Gwajima Apingwa Kila Kona
ShangaziJul 26, 2021
Ikiwa imepita siku moja baada ya mbunge wa jimbo la kawe Askofu Josephat Gwajima kudai kuwa walioeta chanjo ya virusi vya corona wamelipwa na watu wa nje kuwaangamiza watanzania amepata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi nchini
Mbunge wa Bumbuli kupitia chama cha mapinduzi (CCM) amesema kuwa kitendo cha mbunge mwezake kupotosha umma juu ya serikali iliyoleta chanjo hiyo kuwa na lengo la kuwadhuru wananchi wake sio sahihi
“Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali kuleta chanjo nchini haikubaliki. Ni hatari kupotosha watu wanaotuamini kuhusu mambo ambayo hatuna utaalam nayo. Mjadala kuhusu usalama wa chanjo ni sahihi lakini kiapo kwamba Serikali imeileta kuwadhuru watu si sahihi” amesema Makamba.
Kwa upande mwingine Mwenyekiti Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dkt.Fredrick Shoo amewaonya viongozi wa dini wanaopinga chanjo ya corona na kuacha kuhusisha chanjo hiyo na mpango wa shetani na kudai huko ni kumjaribu Mungu.
Naye aliyekuwa Waziri wa maliasili na utalii Hamis Kingwangala ambaye tayari ameshapata chanjp hiyo amesema.
“Askofu Gwajima afanye uungwana azitafute makala za kisayansi asome kwa kina juu ya chanjo; na kama ana mashaka na sayansi yake atafute wataalamu wampe shule ya chanjo. Hata mimi Mbunge mwenzake nimesoma soma kidogo, niko tayari kumfafanulia maeneo kadhaa na kumuondoa shaka” amesema Kingwangalla
Aidha umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) umelaami kitendo cha mbunge huyo kupinga na kuhamasisha watu kukataa chanjo hiyo.
Director Dofu

Samuel Kariuki
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Maxswel Okus
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Emily Michira
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Selma Asraka
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
John Ngigi
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Kassim Ayomide
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
SALUM KONDO
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Hassan Mungathia
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Ndubuaku Chinecherem
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Erick wabwile
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
JOHN JAMES
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Gracious Jerry
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Ednah Kasabei
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Hasingizwimana Jean d Amour
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Yvonne Shiqo
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Samuel mwangi
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Samuel NYANDWI
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?
Erick wabwile
Izbriši komentar
Jeste li sigurni da želite izbrisati ovaj komentar?