@Juma12
USICHOKE:
< kunipenda
< kuniombea
< Kunisamehe
< kunijali
< kunithamini
< kunitakia mema
< kunikumbuka
< kunifariji
< kunishauri
< kunikosoa
< kunivumilia
wakati tupo duniani.
Kwani umri ni daraja, hatukai tunavuka?!
> Maisha ni kamba, iko siku itakatika.
> Limfikalo mja, Mola kaliandika.
> Alipangalo Mungu ni vema tukaridhika.
> Tuvumiliane kwa yote, hakuna aliyekamilika
#stervon
Install Palscity app
James Githaiga
Slet kommentar
Er du sikker på, at du vil slette denne kommentar?
Winnie Aloo
Slet kommentar
Er du sikker på, at du vil slette denne kommentar?