@Juma12
USICHOKE:
< kunipenda
< kuniombea
< Kunisamehe
< kunijali
< kunithamini
< kunitakia mema
< kunikumbuka
< kunifariji
< kunishauri
< kunikosoa
< kunivumilia
wakati tupo duniani.
Kwani umri ni daraja, hatukai tunavuka?!
> Maisha ni kamba, iko siku itakatika.
> Limfikalo mja, Mola kaliandika.
> Alipangalo Mungu ni vema tukaridhika.
> Tuvumiliane kwa yote, hakuna aliyekamilika
#stervon
James Githaiga
Eliminar comentario
¿ Seguro que deseas eliminar esté comentario ?
Winnie Aloo
Eliminar comentario
¿ Seguro que deseas eliminar esté comentario ?