@Juma12
USICHOKE:
< kunipenda
< kuniombea
< Kunisamehe
< kunijali
< kunithamini
< kunitakia mema
< kunikumbuka
< kunifariji
< kunishauri
< kunikosoa
< kunivumilia
wakati tupo duniani.
Kwani umri ni daraja, hatukai tunavuka?!
> Maisha ni kamba, iko siku itakatika.
> Limfikalo mja, Mola kaliandika.
> Alipangalo Mungu ni vema tukaridhika.
> Tuvumiliane kwa yote, hakuna aliyekamilika
#stervon
James Githaiga
تبصرہ حذف کریں۔
کیا آپ واقعی اس تبصرہ کو حذف کرنا چاہتے ہیں؟
Winnie Aloo
تبصرہ حذف کریں۔
کیا آپ واقعی اس تبصرہ کو حذف کرنا چاہتے ہیں؟